Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,455
- 29,134
Siku moja baada ya Timu ya taifa ya Tanzania kufungwa goli 1-0 dhidi ya Uganda, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza kumuondoa Kocha wa Tanzania, Kim Poulsen kwenye benchi la Ufundi pamoja na Wasaidizi wake.
TFF imesema hatua hiyo imefikiswa baada ya makubaliano baina ya pande zote katika kikao cha pamoja, lakini Poulsen ataendelea kubaki katika timu za taifa za vijana hadi mkataba wake utakapomalizika.
Kwa sasa timu ya taifa ya wakubwa itakuwa chini ya uangalizi wa Kocha Hanour Janza akisaidiwa na Meck Maxime na Kocha wa makipa Juma Kaseja.
TFF imesema hatua hiyo imefikiswa baada ya makubaliano baina ya pande zote katika kikao cha pamoja, lakini Poulsen ataendelea kubaki katika timu za taifa za vijana hadi mkataba wake utakapomalizika.
Kwa sasa timu ya taifa ya wakubwa itakuwa chini ya uangalizi wa Kocha Hanour Janza akisaidiwa na Meck Maxime na Kocha wa makipa Juma Kaseja.