ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,774
- 35,994
Rais wa TFF, Wallace Karia ni mwanachama wa Simba
Amekuwa dictator hapo TFF anatumika na timu ya Simba kuhujumu Yanga
Kwa maksudi kabisa akishirikiana na 5imba kukimbia mechi kwakuwa 5imba alikuwa na wachezaji wengi majeruhi
Yani Kwa uhuni huu Wallace Karia akahairisha mechi na kuitafutia Yanga angle ngumu
Rais Karia sio mara ya kwanza anatuhujumu Young Africans, mara kadhaa amekuwa akifungia viongozi, kubambikizia faini na kuipa Yanga ratiba ngumu, huku timu yake ya 5imba ikipangiwa ratiba rahisi na kupewa rundo la vipolo
TFF na bodi ya ligi wamekuwa wakiwapa Simba waamzi wa kuwabeba Kwa kuwapa penalties na kunyonga timu pinzani Kwa red card
TFF wamejaa wahuni na wapo kuhujumu Yanga
Amekuwa dictator hapo TFF anatumika na timu ya Simba kuhujumu Yanga
Kwa maksudi kabisa akishirikiana na 5imba kukimbia mechi kwakuwa 5imba alikuwa na wachezaji wengi majeruhi
Yani Kwa uhuni huu Wallace Karia akahairisha mechi na kuitafutia Yanga angle ngumu
Rais Karia sio mara ya kwanza anatuhujumu Young Africans, mara kadhaa amekuwa akifungia viongozi, kubambikizia faini na kuipa Yanga ratiba ngumu, huku timu yake ya 5imba ikipangiwa ratiba rahisi na kupewa rundo la vipolo
TFF na bodi ya ligi wamekuwa wakiwapa Simba waamzi wa kuwabeba Kwa kuwapa penalties na kunyonga timu pinzani Kwa red card
TFF wamejaa wahuni na wapo kuhujumu Yanga