Mambo ya Simba usituletee Natonal team hatuna fedha za kuhonga makamisaa wa mchezo.Yanga, Azam na vilabu vingine vya ligi kuu mbaonaje tukipulizia Tanzania tukipulizia dawa kwenyw vyumba vya kubadilishia nguo vya timu ya taifa ya Uganda. Maana nyie ndo mnajua kama dawa ilikuwa inafanya kazi au haifanyi
Nawasilisha
Mambo ya Simba usituletee Natonal team hatuna fedha za kuhonga makamisaa wa mchezo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha....Yanga, Azam na vilabu vingine vya ligi kuu mbaonaje tukipulizia Tanzania tukipulizia dawa kwenyw vyumba vya kubadilishia nguo vya timu ya taifa ya Uganda. Maana nyie ndo mnajua kama dawa ilikuwa inafanya kazi au haifanyi
Nawasilisha