Pukudu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 3,148
- 2,219
Tff kama wana ajenda ya siri na mpira wa miguu mkoa wa Arusha waweke wazi ila sio ukanjanja walioufanya... Katika ratiba ya ligi daraja la pili (SDL), TFF wamezipanga kwenye kundi moja timu za AFC, Madini, JKT Oljoro na PEPSI ya Karatu ... Lengo ni nini?? Au hamtaki timu zaidi ya moja ipande toka Arusha?? Au kuna timu inaandaliwa ipande??