Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,140
- 13,215
Waliopata ITC kwa upande wa Kagera Sugar ni Wilfred Ojodale Ame na Benjamin Efe Ofuyah wote kutoka FC Abuja ya Nigeria. Wengine ni Deangelis Silva kutoka New Road ya Nepal kwenda Coastal Union, George Odhiambo kutoka Randers FC ya Denmark kwenda Mtibwa Sugar na Jerry Santo kutoka Tusker, Kenya kwenda Coastal Union.
My take:
Hapo kwenye Red ni mchemsho wa TFF katika taarifa yake ya leo.........George Odhiambo kaenda Azam sio Mtibwa.......
My take:
Hapo kwenye Red ni mchemsho wa TFF katika taarifa yake ya leo.........George Odhiambo kaenda Azam sio Mtibwa.......