Hakuna kitu kama hicho, tayari watu wameanza kujaa na kwa wale wenye magari parking imeanza kujaa so ni vizuri kutafuta Parking eneo lingine, ulinzi upo wa uhakika, Mh.Zitto simuoni nadhan bado hajaingia, hii ni burudani wale wanao politicise burudani watatuwia radhi!