Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,932
- 985
Nasema ni kweli! Amini usiamini kama mwulize masele.
Mh! Niliskia ule wimbo umefungiwa usipigwe Zanzibar kwa sababu hilo jina ni la mtu flani mkubwa.
Hilo ni la kweli kabisa.
Ila kuhusu hilo jina la Am'mada ni la rais mstaafu sina hakika ila serikali ya Zenji imesema huo wimbo usipigwe kwa sababu ni jina la kiongozi flani so ni kumzalilisha kama utaendelea kupigwa.
Ikumbukwe hata ule wimbo wa Bata ulioimbwa na kundi hilo hilo nao umepigwa marufuku.
Kuna tetesi huku mitaani kuwa wimbo wa "Ahmada umelewa" wa Bi Kidude amemwimba rais mstaafu wa vile visiwa vya karafuu. Tetesi hizi zinasema huyo mheshimiwa sana wa ule ukoo unaojulikana sana visiwani na nje ya visiwa alimwita huyo ajuza(kikongwe) katika kasri lake linalolindwa na manjagu, akamshauri aache pombe kwani inampunguzia heshima yake haswa vituko anavyofanya akilewa. Maana alisikia hako kabibi kanawakera watu kwa jinsi alivyo-cha-pombe.
Kibibi huyo baada ya kuambia hayo, kwakuwa anafahamu kuwa mshauri wake huyo ni cha pombe naye, akakakusudia na kisha kuitimiza azma yake ya kutunga songi hilo.
Hii ndiyo sababu wimbo huo haupigwi kunakovisiwa vya karafuu.
Naomba kujua zaidi.....
sijui kwa nini simpendi huyu bibi.
Una roho mbaya na ni asili ya kabila lenu kujiona na kudharau binadamu wenzako. nawe pia hupendwi pamoja unajiona mrembo...
Ulaaniwe ili nawe usipendwe zaidi ya usivompenda huyu ajuza!!!!!!!!!!!!!
sijui kwa nini simpendi huyu bibi.
hahahaaa aisee juu ya nini??? au ile sura yake?
Una roho mbaya na ni asili ya kabila lenu kujiona na kudharau binadamu wenzako. nawe pia hupendwi pamoja unajiona mrembo...
Ulaaniwe ili nawe usipendwe zaidi ya usivompenda huyu ajuza!!!!!!!!!!!!!