Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,932
- 985
Kuna tetesi huku mitaani kuwa wimbo wa "Ahmada umelewa" wa Bi Kidude amemwimba rais mstaafu wa vile visiwa vya karafuu. Tetesi hizi zinasema huyo mheshimiwa sana wa ule ukoo unaojulikana sana visiwani na nje ya visiwa alimwita huyo ajuza(kikongwe) katika kasri lake linalolindwa na manjagu, akamshauri aache pombe kwani inampunguzia heshima yake haswa vituko anavyofanya akilewa. Maana alisikia hako kabibi kanawakera watu kwa jinsi alivyo-cha-pombe.
Kibibi huyo baada ya kuambia hayo, kwakuwa anafahamu kuwa mshauri wake huyo ni cha pombe naye, akakakusudia na kisha kuitimiza azma yake ya kutunga songi hilo.
Hii ndiyo sababu wimbo huo haupigwi kunakovisiwa vya karafuu.
Naomba kujua zaidi.....
Kibibi huyo baada ya kuambia hayo, kwakuwa anafahamu kuwa mshauri wake huyo ni cha pombe naye, akakakusudia na kisha kuitimiza azma yake ya kutunga songi hilo.
Hii ndiyo sababu wimbo huo haupigwi kunakovisiwa vya karafuu.
Naomba kujua zaidi.....