Tetesi: Tundu Lissu ndani ya Songea

Tetesi: Tundu Lissu ndani ya Songea

Magereza zetu zimejaa watu ambao kosa lao ni umaskini. Mfumo wote ni rushwa. tunajenga mfumo usiokua wa haki na CCm uliojengwa kwa miaka 50 ili kuepuka mfumo huu ni lazima kuiangamiza CCM.
 
Anazungumzia maanadamano ya mtwara na wakazi wa Songea wanatakiwa kuwaunga mkono watu wa mtwara kwakuwa nchi hii kila kitu kinaamuliwa Daresalaamu kila kitu nchi hii ni dar. poleni najaribu kuweka picha haka kagalax kanagoma sijui nifanyaje
 
Ameenda kula sikukuu kwa ndugu yake
 
wanachokidai watu wa mtwara watu wa songe wanahitaji kukipigania kama ilivyo makaa ya mawe yanachukuliwa songea kwa maamuzi ya rais. anabishana na wananchi kuwa hawajaanza kuchimba madini wakianza mtaona risas na virungu. anasema nyomongo wameua wananchi zaidi ya 60 kwasababu wananaishi nchi ya madin ya dhahabu iliyouzwa kwa wazungu.
 
wanachokidai watu wa mtwara watu wa songe wanahitaji kukipigania kama ilivyo makaa ya mawe yanachukuliwa songea kwa maamuzi ya rais. anabishana na wananchi kuwa hawajaanza kuchimba madini wakianza mtaona risas na virungu. anasema nyomongo wameua wananchi zaidi ya 60 kwasababu wananaishi nchi ya madin ya dhahabu iliyouzwa kwa wazungu.
mkuu vipi mahudhurio ya wananchi?
 
Anazungumzia maafa ya Japani na wamekataa kutumia umeme huo tusiruhusu kuchimba uranium.Anamalizia kwa kusema kazi iliyopo mbele yenu ni ngumu kwelikweli kwa sababu CCM hawana jibu tena na watanzania jibu lao ni mabomu na risasi anasema swala la Dr slaa anuliza wananchi munaamini kuwa Dr ana kadi ya CCM anasema hizi ni hoja za kijinga kama hizi tujifunze kujibu upuuzi wa Nape .Kinana na JK. majibu yapo katika katiba ya CCM ya mwaka 1992 anagalia sehemu inayozungumzia uanachama na tafuta sehemu inayozungumzia kuacha uanachama inasema kuwa ukiujiunga na chama chochote wewe si mwanachama wa CCm. Anasema yeye amekulia zama za maduka ya ushirika kama huna kadi ya CCM hupati sukari kama huna kadi ya CCM. Kila mojawetu alikua mwanaCCM anakili kuwa hakurudisha gamba la ccm na hajui ameliacha wapi anakili alikua nalo.
 
Huo ni mkutano wa ndani au wa adhala manake nijuavyo mikutano ya adhala inahitaji kibali au niite taarifa ya polisi. Naomba kueleweshwa

Hivi matatizo yetu Watanzania ni nini hasa?? Kiingereza hatujui na kiswahili hatujui................ hivi nini tunaweza zaidi ya kupiga mdomo tu!!
 
Je!!! Kutakuwa na maandamano?? au hati miliki ya maandamano ameisahau Singida Mashariki??????
 
anamalizia kwa kusema kuwa tujifunze kupandana ccm watabakia na polis polis kazi yao ni ndogo kwakuwa nao wamepigiga zaidi ya wananchi. tujifunze namana ya kujibu hoja za CCM
 
kwa taarifa niliyonayo kutoka kwa katibu wa chadema madaba kamanda lisu atapitia madaba tr 30 nawataarifu wanaJF kwamba madaba ni chadema magamba na jenista wao presha juu.
 
Kamanda afanye mpango aende kwenye kata ya Kilagano maeneo ya Mgazini, kilomita 15 kutoka Peramiho. huko kata nzima ni Chadema na waliwahi kumtimua mbunge wa CCM alipoenda kwenye kampeni huko.
Duh, mkuu umenikumbusha mbali sana, hivyo ni vijiji vyangu wakati nilipokuwa huko.
 
Safi sana. Hata songea kuna sehemu za mapumziko.
Mkulu yupo serengeti kutoa kombe la kristmass kwa timu za kule na kufungulia mbwa mwitu!
 
ESI naomba utuwekee picha please!!
Kweli yupo atahutubia kata ya Majengo.Madiwani wote wa CDM kutoka kata ya Lizaboni,Majengo wanaendelea na maandalizi ya kumsikiliza Lissu hapo saa 8.30.
 
hongereni wanasongea kwa kula xmas na hilo jembe, jipongezeni
 
taarifa nilizopata Lissu kesho atakua bombambili keshokutwa ruvuma na kisha Lizaboni nilikua uwanjani matalawe huyu jamaa kweli ni Jembe tena chapa Mamba
 
Back
Top Bottom