Tetesi: Tundu Lissu ndani ya Songea

Tetesi: Tundu Lissu ndani ya Songea

ungonella wa ukweli

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
4,210
Reaction score
556
Habari zenu wana JF,Na hongereni kwa kusheherekea sikukuu ya Christmass! Nimepigiwa simu na rafiki yangu aliyepo Songea,kaniambia kwamba mbunge machachari wa Singida Mashariki Tundu Lissu(CHADEMA). Alikwenda songea kwa mapumziko binafsi ya sikuu ya Chrismass. Hata hivyo wananchi wengi wamemuomba awahutubie kabla ya kuondoka. Inasadikika amekubali kuwahutubia, mkutano huo utafanyika saa 8 mchana. Wana JF kama kuna mtu yuko huko anaweza akatupa Update zaidi.

Nawasilisha.
 
Aisee Karibu Lisu Songea, muandalie njia wakili mwenzako Edson Mbongela.
 
Habari zenu wana JF,Na hongereni kwa kusheherekea sikukuu ya christmass! Nimepigiwa simu na rafiki yangu aliyepo songea,kaniambia kwamba mbunge machachari wa Singida Mashariki Tundu Lissu(CHADEMA). Alikwenda songe kwa mapumziko binafsi ya sikuu ya chrismass. Hata hivyo wananchi wengi wamemuomba awahutubie kabla ya kuondoka. Inasadikika amekubali kuwahutubia.mkutano huo utafanyika saa 8 mchana! Wana jf kama kuna mtu yuko huko anaweza akatupa Update zaidi. Nawasilisha!
Kweli yupo atahutubia kata ya Majengo.Madiwani wote wa CDM kutoka kata ya Lizaboni,Majengo wanaendelea na maandalizi ya kumsikiliza Lissu hapo saa 8.30.
 
Kweli yupo atahutubia kata ya Majengo.Madiwani wote wa CDM kutoka kata ya Lizaboni,Majengo wanaendelea na maandalizi ya kumsikiliza Lissu hapo saa 8.30.
basi tunaomba mtujulishe yatakayoendelea huko, na pia kama kuna uwezekano post mapicha. Kila la heri makamanda na wapenda mabadiliko wote!
 
kila la heri mbunge mpigania haki za wananchi,kweli ni jembe,kama ni mcheza mpira basi ni mesi,kama ni rais basi yeye ni obama,
 
bado tunangoja updates vipi akina bombi mbili
 
Piga kazi Jembe!achana na akuna TUMTEMEKE wanaohangaika na key board wewe hangaika na maisha ya Watanzania!
 
Huo ni mkutano wa ndani au wa adhala manake nijuavyo mikutano ya adhala inahitaji kibali au niite taarifa ya polisi. Naomba kueleweshwa
 
Piga kazi kamanda,hakuna kulala mbaka kieleweke!
 
Mapambano mwanzo mwisho ya ukombozi,wakati Zitto mshirikina,na kundi lake wanapambana kuibomoa chadema,nyie makamanda endeleeni kupambana kukijenga chama
 
Wakuu mlioko Songea kama taarifa hii ni ya kweli jitahidini mtuwekee actualities za mkutano huo wa hadhara.pigeni kazi makamanda stil tunahitaji ushirikiano wa kweli katika kuikomboa nchii,tuachane na tuwapuuuze masalia aka PM7
 
mkuu anazungumzia muungano sasa anasema tulichonacho saa hizi ni maridhiano kati ya CCM na CUF . katiba ya zanazibar ni makubaliano kati ya ccm na Cuf. wanawashika uamsho wakati wanaovunja muungano ni CCM na Cuf na si uamsho nipo live matarawe. anazungumzia serikari ya zanzibar na katiba yake. nitawapa update.
 
anazungumzia mchakato wa katiba lazima iseme kuna nchi ngapi maamiri jeshi wangapi na iamue sisi watanzania wawapi anatoa mfano wa eritria sudani CCM ya akina Nchimbi wanataka Muungano wa kiini macho anasema tatizo la kwanza la nchi ni Muungano na Tatizo la pili ni Raisi. Mfumo wa urais ulianza 1962 hivyo raisi wa tanzania ni Alfa na Omega anafanya kila kitu hata mshahara wake mbunge anaamua raisi kwa sheria
 
Kamanda afanye mpango aende kwenye kata ya Kilagano maeneo ya Mgazini, kilomita 15 kutoka Peramiho. huko kata nzima ni Chadema na waliwahi kumtimua mbunge wa CCM alipoenda kwenye kampeni huko.
 
Rais anateua kila kitu kila mtu Tanzania. Rais si tu sehemu ya Bunge bali pia anateua wabunge .katibu wa Bunge anateua majaji anateu kila mtu wa maana nchi na kwakuwa ni nusu Mungu anateua washikaji kwenye nafasi muhimu kiushikaji. mfano Jaji anateuliwa hajapita shule ya sheria jaji kafukuzwa kazi kwa ubadhilifu atatenda haki jaji aliekuwa wakili anaonga maakimu anakua jaji ataacha kuhongwa au kuhonga.
 
Back
Top Bottom