njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Dada msomi, dada mzungu ,msouth america, mlatino , m colombia, miss gonzalez, masihara yakizidi hutumbua usaha, the chickens are coming home to roost
Hizi tetesi kama ni kweli narudia tena kama ni kweli aisee utakuwa kwenye wakati mgumu sana , yaani hadi nakuonea huruma kwa kweli najaribu kujenga picha ile loyal fan base yako including mimi itakavyokuwa na hasira na wewe
Msimu ulioisha kila mtu alijua lazima waje namba 6 na namba 9 wanaojua kwelikweli siyo wa kubahtisha , mkaamua kuleta ma pro Dejan na Akpan, na tatizo bado lipo , dah Mungu wangu huku mkiweka malengo ya nusu fainali CAF
Sasa dada wakati tunaendelea kusubiri wachezaji wa simba wazoee na kujifunza mikimbio ya mzungu habari zinadai yanga wanamchukua manzoki na wanamuacha kambole na kama inavyojulikana mwisho wa kupeleka majina CAF kwa faini ni 30th august
Nakutakia kila la kheri sana katika ukurasa mpya wa kujitetea kwa wanasimba hakika kama ni kweli utakuwa umepigwa bonge la kofi na Engineer Hersi na itakuwa aibu ya mwaka ,maana mnapenda pesa ziingie tu kutoka ni shida
Narudia tena itafika point hadi utaona aibu kutoka nje ya nyumba yako labda mikimbio ya mzungu iwe imeanza kuzaa matunda.
Hizi tetesi kama ni kweli narudia tena kama ni kweli aisee utakuwa kwenye wakati mgumu sana , yaani hadi nakuonea huruma kwa kweli najaribu kujenga picha ile loyal fan base yako including mimi itakavyokuwa na hasira na wewe
Msimu ulioisha kila mtu alijua lazima waje namba 6 na namba 9 wanaojua kwelikweli siyo wa kubahtisha , mkaamua kuleta ma pro Dejan na Akpan, na tatizo bado lipo , dah Mungu wangu huku mkiweka malengo ya nusu fainali CAF
Sasa dada wakati tunaendelea kusubiri wachezaji wa simba wazoee na kujifunza mikimbio ya mzungu habari zinadai yanga wanamchukua manzoki na wanamuacha kambole na kama inavyojulikana mwisho wa kupeleka majina CAF kwa faini ni 30th august
Nakutakia kila la kheri sana katika ukurasa mpya wa kujitetea kwa wanasimba hakika kama ni kweli utakuwa umepigwa bonge la kofi na Engineer Hersi na itakuwa aibu ya mwaka ,maana mnapenda pesa ziingie tu kutoka ni shida
Narudia tena itafika point hadi utaona aibu kutoka nje ya nyumba yako labda mikimbio ya mzungu iwe imeanza kuzaa matunda.