Tetesi: Museveni yupo mahututi ICU

Tetesi: Museveni yupo mahututi ICU

Life span Man,
majukumu siyo ya mwanamke ni wewe kama Baba unasimamia otherwise unakabidhi.
Mara 3 mi mwenyewe nimekabidhiwa koo 2 tofauti.
Ukiwa na nguvu hiyo,ukinyanyua kidole tu kuna watu wanapiga chini.
Kuna sauti nikitoa watu wanaanguka,mi sio nabii sijui chochote kuhusu unabii,
nna ulokole wangu tu kimya.
Yule Pastor wa malawi alishindwa kuniangusha.
TB Joshua alisema hapa tuna mwamba mkavu tusiguse.😅😅😅😅🤣
Mkuu Shikamoo, hii 👆 codes
 
Hata akifa mwanae atashika hatamu tabu ipo pale pale
Mwanae hana akili kabisa, limekua toto la kubebwa tu tangu mzee akamate dola 1986.
Msikilize maneno anayoongea utamjua, halafu yeye na whisky ni kama chura na brandy.
 
Huyu wa hapa Malawi anaondoka lini?...Tuanze maandalizi ya kuchinja?!

huyu wa hapa Malawi bado kijana sana, ila ni kweli likitokea la kutokea watu watachinja. Jana wanachama wa Boda Boda Malawi wamekataa kuendelea na mkutano wao mpaka picha ya Rais wa Malawi iondolewe ukuta wa mbele. Itakumbukwa siku chache zilizopita boda watatu wa Malawi wamekutwa mtaroni maiti.
 
Pole yake, Wamtoe Besigye sasa arithi ili aendeleze ukoo.
 
Taarifa nilizopewa na usalama wa taifa wa Uganda ni kuwa Rais Museveni yupo mahututi anapumulia mashine
Wewe umepewa taarifa na usalama wa taifa wa uganda?
Hapo hakuna usalama bali wasenge fulani hv..

Na kwa sababu watanzania ni manyumbu watakuamini.
 
huyu wa hapa Malawi bado kijana sana, ila ni kweli likitokea la kutokea watu watachinja. Jana wanachama wa Boda Boda Malawi wamekataa kuendelea na mkutano wao mpaka picha ya Rais wa Malawi iondolewe ukuta wa mbele. Itakumbukwa siku chache zilizopita boda watatu wa Malawi wamekutwa mtaroni maiti.
Inasikitisha sana,
Sasa mkuu, nyinyi ndio munapaswa kuwaokoa wananchi.

Karma is beautiful thing
 
Naona katoka Leo anahutubia sironko wajeda kama wote na mitutu Ile ya Rambo yaani Kila mjeda Yuko na cha moto wengine wameziba Sura kama kuna vita
 
Back
Top Bottom