Tetesi: Museveni yupo mahututi ICU

Tetesi: Museveni yupo mahututi ICU

Yaani hata ukiishi miaka mingi lazima ufe umuache Mke wako. Hii imekaaje
Life span Man,
majukumu siyo ya mwanamke ni wewe kama Baba unasimamia otherwise unakabidhi.
Mara 3 mi mwenyewe nimekabidhiwa koo 2 tofauti.
Ukiwa na nguvu hiyo,ukinyanyua kidole tu kuna watu wanapiga chini.
Kuna sauti nikitoa watu wanaanguka,mi sio nabii sijui chochote kuhusu unabii,
nna ulokole wangu tu kimya.
Yule Pastor wa malawi alishindwa kuniangusha.
TB Joshua alisema hapa tuna mwamba mkavu tusiguse.😅😅😅😅🤣
 
Huyu wa hapa Malawi anaondoka lini?...Tuanze maandalizi ya kuchinja?!
 
Duh, east africa, uganda, rwanda na sudan kusini bundi bundi, kenya ndio raila kaondoka. Miaka sabini sabini ni miaka ya ukomoukomo wa kuishi ila unaweza kuzidi hapo ukagonga mia na ushee kama afya ya mwili ni imara
 
Back
Top Bottom