naomba kuuliza na nielimishwe ipasavyo, kwanza kabisa sheraton, movenpick, kempinsik, na zingine nyingi kama vile accor ni chain ambazo zinamiliki hotel mbalimbali, kwa mfano, mbongoi akataka kujenga hotel yake na akaamua iitwe mbongo luxury hotel, ni lazima atalazimika kutafuta management inayofaa kuendesha hotel yake,( FRANCHISE) kwa hiyo basi anaweza kuchagua mojawapo au nyingine nyingi ambazosijataja hapo juu, mfano kilimanjaro hotel imemaliza mkataba wake na Kempinski , JE NAPENDA KUULIZA HUWA WANAUZA HILO JENGO AU WANABADILISHA MANAGEMENT YA HOTEL?