Kuna tetesi kuwa mbunge wa jimbo la Mwibara anayetetea nafasi yake kwa tiketi ya ccm mh. Kangi Lugola amewekewa pingamizi ingawa ameshinda kwa kishindo kikubwa sana kura za maoni. kama kuna mtu anayejua kwa undani zaidi atujuze wana jf.
Nafikiria tu mtindo wa kugawa masurufu maana wanaotetea nafasi zao basi wanatetea kwa zilezile walizopewa hivi karibuni. Lakini tuwasubiri waliokaribu tutafaham zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.