malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,780
- 2,712
Habar wana jf nisaidie ndgu yangu alianguka na baiskel akaumia mkono kiganja kikavimba na akawa na kidonda kidogo.
Sasa alipata matibabu ya kawaida leo ni siku ya 7 tangu aumie sasa leo kazidiwa leo sana anakosa pumzi anatoka Kama mapovu Sasa madokta wakawa wamegundua no tetenasi Sasa Hali nimbaya inazidi.
Wakuu msaada wa je mtu ambae tetenas imeingia mwilini tayar Tina yake ni nin Zaid aweze pona
Sasa alipata matibabu ya kawaida leo ni siku ya 7 tangu aumie sasa leo kazidiwa leo sana anakosa pumzi anatoka Kama mapovu Sasa madokta wakawa wamegundua no tetenasi Sasa Hali nimbaya inazidi.
Wakuu msaada wa je mtu ambae tetenas imeingia mwilini tayar Tina yake ni nin Zaid aweze pona