Tetemeko la ardhi limepita jijini Mbeya

Tetemeko la ardhi limepita jijini Mbeya

mwakyindi

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2018
Posts
1,627
Reaction score
2,212
Za asubuhi wakuu, huku Mbeya mjini tetemeko limepita yaani sio poa kabisa Hapa usingizi umekata

Wataalam mtujuze shida nini
 
ee limepita ilkuwa saa tisa dk 59 hapa nmeliskia sema sio kubwa kivile lmetikisa vioo vya madirisha tu hapa
 
Za asubuh waku uku Mbeya mjin tetemeko limepita yan sio poa kabisa apa usingiz umekat wa watalam mtujuze shidann
limepita ndy kdg sio kivile nadhan kama kote limepita kwa style nlosikia mm hakuna madhara makubwa
 
Poleni wanambeya.

Ubaya wa matetemeko ni kuwa hayatabiriki, yanatokea wakati wowote!

"fanyeni kazi tetemeko halijaletwa na serikali [...] Of kozi people uzidi to die in ze leki"
-Jiwe
 
Nilikua uyole hapo kiunoni mwa shemeji yako najituma nikalisikia nikashuka ghafla.
 
Back
Top Bottom