Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,442
- 25,587
Kauli yako hiyo imenikumbusha Wasabato maana wao ndio wajuzi wa kutabiri mwisho wa duniahapa tunajadili dunia inakoelekea vs matukio yanayoiandama.
Tarehe mimi Sio kalenda mkuu.
Kauli yako hiyo imenikumbusha Wasabato maana wao ndio wajuzi wa kutabiri mwisho wa duniahapa tunajadili dunia inakoelekea vs matukio yanayoiandama.
Tarehe mimi Sio kalenda mkuu.
nataman hilo tetemeko lingepita na pale magogon lifunike kila kiumbe kilichopo mule. harafu likate kona liingie mitaa ya lumumba likwangue kila kitu cha pale.
niliikuta tu mtandaoni mkuu. Nilipenda inatoa ujumbe fulani.Mkuu hio avatar yako ni wapi? Basically inatuambia kuna vitu visivyo vya msingi tunavifanya kama hao wajenzi!
Wendawazimu wenzio wanashangilia yule aliepigwa risasi, kwa unafiki wako utawashangaa!nataman hilo tetemeko lingepita na pale magogon lifunike kila kiumbe kilichopo mule. harafu likate kona liingie mitaa ya lumumba likwangue kila kitu cha pale.