Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,684
Nikiwa safarini tumesimama Magu kwenye kizuizi cha barabarani kuna tetemeko limepita sasa hivi 13:57 tafadhali vipi huko ulipo hali iko vipi?
Hiyo saa ulioandika mbona bado haijafika? Au Mwanza sio Afrika Mashariki!?Nikiwa safarini tumesimama Magu kwenye kizuizi cha barabarani kuna tetemeko limepita sasa hivi 13:57 tafadhali vipi huko ulipo hali iko vipi?
Saa yako iko Sawa kweli...maana sasa hivi ni 13:10, we unasema (dakika 9 zimepita ) kuwa ni saa 13:57Nikiwa safarini tumesimama Magu kwenye kizuizi cha barabarani kuna tetemeko limepita sasa hivi 13:57 tafadhali vipi huko ulipo hali iko vipi?
Nilikosea mkuu ilikuwa SAA 12:57Hiyo saa ulioandika mbona bado haijafika? Au Mwanza sio Afrika Mashariki!?
Ilikuwa SAA 12:57 nilikosea mkuuSaa yako iko Sawa kweli...maana sasa hivi ni 13:10, we unasema (dakika 9 zimepita ) kuwa ni saa 13:57
Limefika, na Misungwi limemua askari polisi wa kike (kwa mshtuko)
