Naogopa nisije pata shida ya uzazi mbeleni.afu sipo huru demu apo chezea mkunyenye.Kama haikuletei shida iache usiipasue. Hata sisi binadamu, wengine Wana vichwa vikubwa na wengine vidogo ila Kama havileti shida, tunaviacha tu siyo ugonjwa. Ingekuwa ugonjwa upasuaji ungeanzia magogoni.
Nani kakuambia hiyo ni testicular torsion?Wakuu naombeni masaada maana pumbu moja nene nyingine ndogo. nimejaribu kufatilia kwa haraka nimeona tiba ni upasuaji.
Je, kunatiba bila upasuji?