Sana. Hawa watu ni sumu,hawafai hata kidogo! We chukulia tu mfano m.east wameanzisha wakaondoka, sasa wamebaki wanauwana wao kwa wao, Iraq,libya,misri,syria kote huko hakuacha...syria kwa sasa baadhi ya miji mikubwa yamebakia magofu tu, cha kushangaza kuna washenzi bado wanawashobokea hawa watu