Terrorist attack in India

Nitashukuru ikiwa waamerika watakufa wengi,wakikosakosa angalau kumi tu.wengine mungu awanusuru.
 
mkuu hawa watu wanafanya dunia iwe nyekundu,imezingirwa na damu

Sana. Hawa watu ni sumu,hawafai hata kidogo! We chukulia tu mfano m.east wameanzisha wakaondoka, sasa wamewaacha wanauwana wao kwa wao, Iraq,libya,misri,syria kote huko hakuacha...syria kwa sasa baadhi ya miji mikubwa yamebakia magofu tu, cha kushangaza kuna washenzi bado wanawashobokea hawa watu
 
hawana akili au wana macho ila wanayatumia kama vitobo,na masikio kama madishi.
 
Nitashukuru ikiwa waamerika watakufa wengi,wakikosakosa angalau kumi tu.wengine mungu awanusuru.
Hii thread ni ya mwaka 2008, labda uwauwe na wewe leo hii 8th March,2016.
 
wanaongoza kwa kuua na kusababisha maafa katika nchi nyingi duniani.ni wenye tamaa na wabinafsi,ndio sababu nimesema hivyo.
Hukumu ni kazi ya Mungu, Mungu ndiye ajuae atawafanya nini
 
moja ya maneno ya baba wa taifa alisema,mtu anakwambia neno la kijinga na wewe unajua la kijinga unakubali anakuita juha,wamarekani kazi yao ni kuchonganisha tu ninyi kwa,ninyi muuane wakati wao wanachuma mali km,mafuta nk huki wakiuza saraha zao,sio watu ni wauwaji kuliko hata alkaeda.
 
hawana akili au wana macho ila wanayatumia kama vitobo,na masikio kama madishi.

Wanajitoa ufahamu! Wanajua kila kitu kinachoendelea kuhusu middle east na nchi zingine kama vile afghanistan,mali,burma n.k! Basi tu chuki zimewajaa kwa waislamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…