Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,363
- 31,500
Hilo nalo nenoTatizo siyo Bei!! Important ni solo !! Kwani Azam ice cream imesambazwa kote... Huwezi kushindana nae....
Hilo nalo nenoTatizo siyo Bei!! Important ni solo !! Kwani Azam ice cream imesambazwa kote... Huwezi kushindana nae....
Maana yake huwezi shindana na multicompany !! Ila ukiwa una Soko eneo lako... Au Shule zilizopo karibukaribu!!... Nisikukatishe tamaa wee tazama na fanya research zako..hope and wish you success..!Hilo nalo neno
We punga umeambiwa mimi ndio nafanya hiyo biashara? Soma maelezo vizuri ya mleta mada, usikurupuke..Humpati mtu hapa kila kitu kinapatikana mtandaoni