Tendwa; Toa kauli uchaguzi mdogo Arusha Mjini.

Tendwa; Toa kauli uchaguzi mdogo Arusha Mjini.

kagame

Senior Member
Joined
Dec 6, 2008
Posts
157
Reaction score
57
John Tendwa, msajili wa vyama vya siasa aliyeamua kujigeuza kuwa mwanasiasa twaomba kauli yako juu ya gharama za uchaguzi mdogo ujao wa jimbo la Arusha Mjini, NCCR Mageuzi kilipomvua uanachama mbunge wao David Kafulila na CUF kumvua uanachama Mh Hamad Rashid ulijitokeza katika vyombo vya habari ukilaumu maamuzi halali ya vikao vya kamati kuu na baraza kuu la utendaji la vyama husika kwa kuchukua maamuzi ya kuwavua uanachama wabunge wao mtazamo wako ukiwa kwenye gharama za chaguzi za marudio, uliongea ukionesha na kufafanua jinsi uchaguzi mmoja unavyogharimu billions of money, kam Taifa tumetoka kuteketeza hela nyingi kwenye uchaguzi wa Arumeru Mashariki na sasa mahakama kuu kanda ya Arusha imetengua ushindi wa aliyekuwa mbunge wa Jimbo hilo Mh Lema. Sasa yatupasa kuingia kwenye uchaguzi ambao matokeo yake hata kabla ya kura kupigwa yeshajulikana haihitaji hata kumlika kwa tochi ili kuona ukweli huu, Huoni kuwa suala hili latupeleka katika gharama zisizo za lazima na nchi inakabiliwa na ukata wa fedha? Au hili ni gumu kujitokeza tena hadharani kulizungumzia maana lina faida kwako? Wazee wa kimeru walikuagiza umwambie Lema asifike Arumeru , je katika uchaguzi mdogo wa Arusha Mjini unadhani wazee watakupa ujumbe gani wa kuufikisha kwa Bw Lema? Asiwe mgombea ama? Nasubiri kusikia toka kwako ili kuniprove me wrong kwamba weye hauko fair & free katika utendaji wako kama Msajili wa vyama vya siasa.
 
John Tendwa, msajili wa vyama vya siasa aliyeamua kujigeuza kuwa mwanasiasa twaomba kauli yako juu ya gharama za uchaguzi mdogo ujao wa jimbo la Arusha Mjini, NCCR Mageuzi kilipomvua uanachama mbunge wao David Kafulila na CUF kumvua uanachama Mh Hamad Rashid ulijitokeza katika vyombo vya habari ukilaumu maamuzi halali ya vikao vya kamati kuu na baraza kuu la utendaji la vyama husika kwa kuchukua maamuzi ya kuwavua uanachama wabunge wao mtazamo wako ukiwa kwenye gharama za chaguzi za marudio, uliongea ukionesha na kufafanua jinsi uchaguzi mmoja unavyogharimu billions of money, kam Taifa tumetoka kuteketeza hela nyingi kwenye uchaguzi wa Arumeru Mashariki na sasa mahakama kuu kanda ya Arusha imetengua ushindi wa aliyekuwa mbunge wa Jimbo hilo Mh Lema. Sasa yatupasa kuingia kwenye uchaguzi ambao matokeo yake hata kabla ya kura kupigwa yeshajulikana haihitaji hata kumlika kwa tochi ili kuona ukweli huu, Huoni kuwa suala hili latupeleka katika gharama zisizo za lazima na nchi inakabiliwa na ukata wa fedha? Au hili ni gumu kujitokeza tena hadharani kulizungumzia maana lina faida kwako? Wazee wa kimeru walikuagiza umwambie Lema asifike Arumeru , je katika uchaguzi mdogo wa Arusha Mjini unadhani wazee watakupa ujumbe gani wa kuufikisha kwa Bw Lema? Asiwe mgombea ama? Nasubiri kusikia toka kwako ili kuniprove me wrong kwamba weye hauko fair & free katika utendaji wako kama Msajili wa vyama vya siasa.

Tendwa:Wazee wa Arusha waomba CDM isishiriki katika uchaguzi mdogo wa Arusha mjini ili kuepusha vurugu.mwisho wa kunukuu
 
Hiyo ndiyo democrasia? au ndio mpango?
 
kaka umenena vema ,
Hapa arusha mjini weka jiwe andika CHADEMA kura linapata Mlete Makufuli kura hazitatosha. Tunaangalia Shule hazina madawati wanafunzi wanakaa chini , hapa hapa arusha but yet Serikali inaingia cost ya kuridia uchaguzi. Well wanapesa, wana dola wana mahakama , Wanaarusha tuna Mungu , Lema ni mweshimiwa sana ktk jamii ya arusha , umesikia wanafunzi na wazazi 300 wamelia . Lema ni Mh sana .
 
Back
Top Bottom