ni genge la wanyang'anyi!.john billy tendwa,msajili wa vyama vya siasa nchini,amegeuka mwanasiasa wa chama cha mapinduzi. Lakini,ipo siku atagundua kuwa ccm si chama cha siasa ili ni genge la waropokaji na wachumia tumbo. Watamtenda tu...
ni genge la wanyang'anyi!.john billy tendwa,msajili wa vyama vya siasa nchini,amegeuka mwanasiasa wa chama cha mapinduzi. Lakini,ipo siku atagundua kuwa ccm si chama cha siasa ili ni genge la waropokaji na wachumia tumbo. Watamtenda tu...
nchi hii ina vituko vingi
msajili wa vyama vya siasa kuteulia na raisi wa chama tawala,
polisi wana mamlaka ya kuzitisha maandamano halali au kuzuia bila kibali cha mahakama
msajili wa vyama vya siasa ana mamlaka ya kufuta chama kwa maamuzi yake binafsi na kwa utashi wake
viongozi wa tume ya uchaguzi kuchaguliwa na rais wa chama tawala
HAKI IKO WAPI TUSIKUBALI KUINGIA UCHAGUZI MPYA BILA HAYA YOTE KUBADILISHWA.
John Billy Tendwa,Msajili wa Vyama vya Siasa nchini,amegeuka mwanasiasa wa chama cha Mapinduzi. Tendwa,mhitimu wa Shahada ya Kwanza ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,hatumii vyema uanasheria wake. Tendwa,aliyepata Uwakili tarehe 13/6/2008 na kuwa na nambari ya Uwakili 1018,hatumii weredi wake wa kisheria ipasavyo.Anajipendekeza kwa CCM na Serikali yake.
Zipo taarifa kuwa John Billy Tendwa anajiandaa kuwania Ubunge 2015 kwenye jimbo mojawapo mkoani Kilimanjaro. Ana matumaini kuwa atateuliwa na chama hiki cha kijani anachojipendekeza kwacho.Chama cha Mapinduzi hakijengwi wala kulindwa na Tendwa. Kilishajengwa na kulindwa na sasa kinateketea.Tendwa si msaada tena.
Kauli zake za kisiasa za kutishatisha vuguvugu la mbadiliko hazina nguvu.Hazina nafasi. Kwanza,hana mamlaka anayoyasema kwa namna anayojitambia. Chama maarufu kama CHADEMA hakifutwi hivihivi tu. Kama ni mpira wa miguu,basi refarii aumalize mpira huu akiwa tayari amejitafutia njia ya kukimbilia. Lakini,ipo siku atagundua kuwa CCM si chama cha siasa ili ni genge la waropokaji na wachumia tumbo. Watamtenda tu...
Kilaza kateuliwa na dhaifu basi kazi kwelikweli!!!
John Billy Tendwa,Msajili wa Vyama vya Siasa nchini,amegeuka mwanasiasa wa chama cha Mapinduzi. Tendwa,mhitimu wa Shahada ya Kwanza ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,hatumii vyema uanasheria wake. Tendwa,aliyepata Uwakili tarehe 13/6/2008 na kuwa na nambari ya Uwakili 1018,hatumii weredi wake wa kisheria ipasavyo.Anajipendekeza kwa CCM na Serikali yake.
Zipo taarifa kuwa John Billy Tendwa anajiandaa kuwania Ubunge 2015 kwenye jimbo mojawapo mkoani Kilimanjaro. Ana matumaini kuwa atateuliwa na chama hiki cha kijani anachojipendekeza kwacho.Chama cha Mapinduzi hakijengwi wala kulindwa na Tendwa. Kilishajengwa na kulindwa na sasa kinateketea.Tendwa si msaada tena.
Kauli zake za kisiasa za kutishatisha vuguvugu la mbadiliko hazina nguvu.Hazina nafasi. Kwanza,hana mamlaka anayoyasema kwa namna anayojitambia. Chama maarufu kama CHADEMA hakifutwi hivihivi tu. Kama ni mpira wa miguu,basi refarii aumalize mpira huu akiwa tayari amejitafutia njia ya kukimbilia. Lakini,ipo siku atagundua kuwa CCM si chama cha siasa ili ni genge la waropokaji na wachumia tumbo. Watamtenda tu...