Tendo la ndoa ni vita

Tendo la ndoa ni vita

Inaonekana una marking scheme ya mapenzi bibi, hebu nishushie hapa niokote points


hahah hata siwez kushusha aisee ! ila kwa mwandiko tu mie huwa najua huyu anajua mchezo ! serious omba sana msichan wako asichepuke akakutana na wajuzi duniani utatembea makanisa yoote kwa maombi umrudishe mkeo holaaa!
 
hahah hata siwez kushusha aisee ! ila kwa mwandiko tu mie huwa najua huyu anajua mchezo ! serious omba sana msichan wako asichepuke akakutana na wajuzi duniani utatembea makanisa yoote kwa maombi umrudishe mkeo holaaa!
Ndiyo maneno yenu, wewe mwenyewe uliyefanyiwa hayo mumeo alienda kanisa gani ukarudi kwake?
 
Kwa hiyo ukimkunjua mtoto wa watu kama vita ndio utakua huchapiwi?usijidanganye chalii yangu,dawa ya kutochapiwa tulishaambiwa kitambo ni "kuishi nao kwa akili "sentensi hii ndogo ina maana kubwa sana.
 
Mkuu samahani kama nimekukwaza huu ni mtazamo wangu tuu usiichukulie personal


hayo mavibe fanya na demu aliekunywa makonyagi aisee !dah mie kwa kwa kwa kwa kwa uwiiiiiii unanimwagia majasho sifeel kitu zaid ya maumivu pita hvi!yes nakubali kuna rough sex lakin sio namna hyo!maana nakuona utauma had meno dadek
 
Kwa hiyo ukimkunjua mtoto wa watu kama vita ndio utakua huchapiwi?usijidanganye chalii yangu,dawa ya kutochapiwa tulishaambiwa kitambo ni "kuishi nao kwa akili "sentensi hii ndogo ina maana kubwa sana.
Mkuu mchango wako una ujumbe mzito saana "tuishi nao kwa akili" maana usipomkunja analalamika ukimkunja napo atasema anapenda descent game.

Mimi nachukua ya kumkunja hiyo ya kuchapika siyo story ya kusikitisha
 
hayo mavibe fanya na demu aliekunywa makonyagi aisee !dah mie kwa kwa kwa kwa kwa uwiiiiiii unanimwagia majasho sifeel kitu zaid ya maumivu pita hvi!yes nakubali kuna rough sex lakin sio namna hyo!maana nakuona utauma had meno dadek
Asee wewe hatuwezani kabisa mkuu

Mimi lazima ning'ate meno, jasho la kutosha na maumivu lazima uyasikie

Hatuendani, wewe anakufaa jamaa pale uliye declare kumfollow
 
Asee wewe hatuwezani kabisa mkuu

Mimi lazima ning'ate meno, jasho la kutosha na maumivu lazima uyasikie

Hatuendani, wewe anakufaa jamaa pale uliye declare kumfollow


hivi unasena kweli had ung'ate meno? hahhaha had usikie misuli inawakaaa hheheheh ! mburaaaa
 
Back
Top Bottom