MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,082
Mbinu ya imekaa kinadharia sana,na kwa baadhi ya wanawake utafeli.
Practically kila game ina rules zake.
1.Inategemeana na aina ya mwanamke...is she...
(a)Ordinary
(b)Classic
(c)Deluxe or
(d)Executive
2.Ukishajua standard&life style yake ndo unareact kulingana na tabia yake kingono/kimapenzi
Tahadhari:
Ukitumia mtazamo wa kivita kwa kila mwanamke kuna baadhi ya wanawake hawapendi mihemko!!
Mbinu ya kivita inafaa sana kwa wanawake wazoefu na wabobezi katika masuala ya ngono.mf.wadada wa mjini(walalahoi), wanaojiuza,na waonja supu!!
Lakini kuna aina za wanawake watulivu,laini,wapenda ngono Salama,wanaopata penzi kwa nadra,mabikira,wakishua-geti kali,wanaojua kudeka hawa ukienda kivita utafeli...hawa ni mwendo wa slow but sure!!...ubunifu wako uhakikishe unamiliki mchezo,unakaba,unapiga chenga,unatoa pasi na unafunga magoli ya kiufundi!!
N.B Hakikisha Kila nyavu imetikisika mf.2-3,3-4,2-4,3-5 n.k.....
baba naomba kwa HESHIMA NA TAADHIMA NIKUFFOLOW!

