Llio 002
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 1,639
- 2,078
Tendo la ndoa lina mambo mawili ya muhimu
Burudani na kufika kileleni tu.
Burudani imebeba udambwidambwi ambao ndio hupelekea mtu kufika kileleni.
Tamati ya tendo la ndoa mtu amwage yale maji bila kumwaga hakuna ulichofanya cha maana.
Raha ya mechi iwe na vyega na kupigiana pasi za upendo, unapeleka mashambulizi na kurudi kukamba tena ila magoli ni muhimu sana kila mechi bora mtoke droo au mmoja ashinde kwa utofauti wa magoli sio kutuka suruhu (bila kufungana).
Mpira utembee, pira biriani bila nyamanyama ila liwe na magoli sasa sio pira butuabutua.
Au nakosea ndugu zangu[emoji1]
Burudani na kufika kileleni tu.
Burudani imebeba udambwidambwi ambao ndio hupelekea mtu kufika kileleni.
Tamati ya tendo la ndoa mtu amwage yale maji bila kumwaga hakuna ulichofanya cha maana.
Raha ya mechi iwe na vyega na kupigiana pasi za upendo, unapeleka mashambulizi na kurudi kukamba tena ila magoli ni muhimu sana kila mechi bora mtoke droo au mmoja ashinde kwa utofauti wa magoli sio kutuka suruhu (bila kufungana).
Mpira utembee, pira biriani bila nyamanyama ila liwe na magoli sasa sio pira butuabutua.
Au nakosea ndugu zangu[emoji1]