Mtoto wa Jadu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 461
- 1,119
Imekuwa hivyo baada ya kugundua kuwa Ni dhambi Ila tuna force tu maana hakuna namna..rejea KITABU Cha mwanzo katika bibliaWanabodi,
Binafsi huwa sielewi kwanini ni busara kufanya tendo hilo sehemu ambapo hamtaonekana na mwingine yaani sirini!?
Je kuna ubaya gani kulifanya tendo hilo hadharani au sehemu ambapo kuna watu!?
Ni siri ipi hiyo ifichwayo!?
Karibuni!!
Sent using Jamii Forums mobile app
NAKAZIA:We Jaribu Kufanya hadharani afu utaona nini kisichokuwa sirini tena yaani utaelewa tu
kajaribu leo afu utatupa mrejesho hapa
Mimi hudhani tunavaa nguo ili kuikinga miili yetu na vihatarishi kama vile mionzi ya jua na baridi kali!!Jiulize kwanza kwanini wewe utembei uchi hadharani, kwanini uficha uchi wako?
[emoji4] [emoji4]Huku kwetu mbona tunafanya hadharani, inawezekana kujificha ni utaratibu wa huko kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama kuniambia kuwa mimi ni bwege upo sawa!!sababu ni tendo la siri
mkuu una mawazo ya kibwege sana
samahani lakini
Kwa hiyo kufanya tendo hilo ni aibu mkuu!?Baada ya Hawa kula tunda na Adam pia. Walijiona wapo uchi. Kwahiyo ni Aibu ambayo binadamu tunayo