jerrto
Member
- Feb 25, 2014
- 46
- 15
wadua mimi nina girlfriend wangu ambae hayupo kidogo kasafiri na huko aliko atakuwepo kwa probably muda mrefu tu lakini atarudi one day,na kipindi ambacho yupo huku ilikuwa mapenzi motomoto,kwa sababu alikuwa anantembelea hata mara tatu kwa wiki ghetto nilikuwa nnajamiiana nae mara zote,hiyo ni kwasababu girlfriend wangu mwenyewe alikuwa anaonesha ni big fun wa hilo tendo.Kiukweli ameumbika sana sasa akifika ghetto zile shughuli shughuli za kupika mara kunpigia deki,yaan kule kuinama inama na ni ana mvuto huwa inatokea nashindwa kujizuia tunafanya....sasa mwili wangu kama umeshazoea kujamiiana.
TATIZO NI:
Toka aondoke nimejawa na nyege za kutosha inafika kipindi hata nasimamisha nikiwa sifikirii chochote,yaan sometym inafika kipindi mpaka naona aibu kusimama nkikaa kwenye gari mashine hiyo imesimama,yaani najitahidi sana lakini yanakuwa mateso,huwa zinakuja IDEA za kipuuz sometyms niende hata ambiance au miasha club nichukue malaya nimalize ashki zangu lakini najizuia because ukweli ni kuwa she is very innocent and I do think kwamba she doesnt deserve that,but on other hand kama mi najisikia hivi na yeye si atakuwa anajisikia hivyo!!!?nae ataweza kujikaza kweli au najitahidi peke yangu???
na je ni kweli kwamba Condom zikitumiwa vizuri zinakinga maambukizi ya ukimwi,maana mademu wa mtaani walaini laini kila mtu anapiga huwa nataman na mm nipige lakini naanza kuwaza wakinipa ukimwi!!!?guys nko very serious naomba ushauri wenu najua nimeongea vitu vingi lakini unaweza nshauri popote pale unapoona unaweza na kama utaona this is stupid shread please just leave it
KEJELI SIO ISHU.
SORRY FOR LONGNESS OF THIS.
TATIZO NI:
Toka aondoke nimejawa na nyege za kutosha inafika kipindi hata nasimamisha nikiwa sifikirii chochote,yaan sometym inafika kipindi mpaka naona aibu kusimama nkikaa kwenye gari mashine hiyo imesimama,yaani najitahidi sana lakini yanakuwa mateso,huwa zinakuja IDEA za kipuuz sometyms niende hata ambiance au miasha club nichukue malaya nimalize ashki zangu lakini najizuia because ukweli ni kuwa she is very innocent and I do think kwamba she doesnt deserve that,but on other hand kama mi najisikia hivi na yeye si atakuwa anajisikia hivyo!!!?nae ataweza kujikaza kweli au najitahidi peke yangu???
na je ni kweli kwamba Condom zikitumiwa vizuri zinakinga maambukizi ya ukimwi,maana mademu wa mtaani walaini laini kila mtu anapiga huwa nataman na mm nipige lakini naanza kuwaza wakinipa ukimwi!!!?guys nko very serious naomba ushauri wenu najua nimeongea vitu vingi lakini unaweza nshauri popote pale unapoona unaweza na kama utaona this is stupid shread please just leave it
KEJELI SIO ISHU.
SORRY FOR LONGNESS OF THIS.