rilprogrammer
Member
- Jun 5, 2011
- 94
- 19
Jamani kila siku humu watu wanatafuta kazi tu,mbona tenda haziwekwi? hili jukwaa si la kazi tu jamani,wekeni na tenda basi tuinuane!! napokea tenda za ICT services mfano; computer maintenance,kusupply computer na vifaa vyake vyote,software development,website design and hosting,printing,IT support and outsourcing.
products zilizopo sokoni ni:
-InvoicePoint, hii ni software ya kurahisisha kutengeneza invoices na kutunza kumbukumbu ya mauzo na manunuzi katika biashara yako, ina support tra efd device for invoices signature.
-StockPoint,hii ni software ya kumanage mauzo katika biashara yako.
-RomTanzania.co.tz hii ni bussiness directory,tayari kwa kukutangazia biashara yako.
kwa maelezo ya kina na kuonyeshwa utendaji kazi wa hizi huduma,tafadhali fika ofisin au wasiliana nasi.
Macroteq
Haidery Plaza,ground floor
kisutu street
Dar es salaam.
contacts : 0766091869
Note: muda si mrefu zitatangazwa kazi za sales representatives kwa hizo huduma,hivyo kutoa nafasi za ajira kwa watanzania wengi zaidi. Karibuni sana
products zilizopo sokoni ni:
-InvoicePoint, hii ni software ya kurahisisha kutengeneza invoices na kutunza kumbukumbu ya mauzo na manunuzi katika biashara yako, ina support tra efd device for invoices signature.
-StockPoint,hii ni software ya kumanage mauzo katika biashara yako.
-RomTanzania.co.tz hii ni bussiness directory,tayari kwa kukutangazia biashara yako.
kwa maelezo ya kina na kuonyeshwa utendaji kazi wa hizi huduma,tafadhali fika ofisin au wasiliana nasi.
Macroteq
Haidery Plaza,ground floor
kisutu street
Dar es salaam.
contacts : 0766091869
Note: muda si mrefu zitatangazwa kazi za sales representatives kwa hizo huduma,hivyo kutoa nafasi za ajira kwa watanzania wengi zaidi. Karibuni sana