Tenda ya PHOTOCOPY MACHINE

Tenda ya PHOTOCOPY MACHINE

said rashid

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2011
Posts
203
Reaction score
113
Natafuta photocopy machine ambayo ni used, iliyo katika hali nzuri na bei nafuu kabisa. Kwa mwenye nayo au taarifa ya kuniwezesha kuipata tuwasiliane kupitia JF au +255 659 528 724. Natanguliza shukrani!
 
bei nzuri ni ipi unayoitaka wewe? mcheck huyu kaka anazo zimeingia kama wiki tatu zilizopita 0655236074
 
Back
Top Bottom