Temporary work

Temporary work

JfBro

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2014
Posts
587
Reaction score
163
Habari members....

Natafuta kazi yeyote ya short time niwe nafanya kuanzia asubuhi mpaka saa 8 mchana. Eneo liwe Dsm.

Nina elimu ya form six, division one. Fluent in English and Swahili languages na mchangamfu. Hard working and creative. Kazi zote ninaweza kufanya nina kichwa chepesi cha kuelewa mambo nikielekezwa.

Kima cha chini mshahara iwe 200,000, kima cha juu utajua wewe muajiri mwenyewe kulingana na mchango wangu kwako.

Asanteni.

Muajiri au mwenye nafasi hiyo ya kazi ani PM kwa mawasiliano.

Siwezi kuweka number zangu public its not wise.
 
unajichagulia mshahara ndugu?!! eti 200000/=?!!!!!! Eti una kichwa chepesi??! eti una division one?!! Subir waje wale wenye first class za SAUT utawaona watakua wakali kweli
 
unajichagulia mshahara ndugu?!! eti 200000/=?!!!!!! Eti una kichwa chepesi??! eti una division one?!! Subir waje wale wenye first class za SAUT utawaona watakua wakali kweli

kweli anakosea kuna mtu ana degree analipwa laki 2 au tatu xx ye form six daah afu temporary...
 
Habari members....

Natafuta kazi yeyote ya short time niwe nafanya kuanzia asubuhi mpaka saa 8 mchana. Eneo liwe Dsm.

Nina elimu ya form six, division one. Fluent in English and Swahili languages na mchangamfu. Hard working and creative. Kazi zote ninaweza kufanya nina kichwa chepesi cha kuelewa mambo nikielekezwa.

Kima cha chini mshahara iwe 200,000, kima cha juu utajua wewe muajiri mwenyewe kulingana na mchango wangu kwako.

Asanteni.

Muajiri au mwenye nafasi hiyo ya kazi ani PM kwa mawasiliano.

Siwezi kuweka number zangu public its not wise.

Division one haifanyi kazi, wewe ndo utafanya kazi.
Wapo wenye four ila ni wachapakazi usiombe ukutane nao.
Maisha yako tofauti na taratibu za shule.
 
Duuh! Et kima cha chini 200000. Kuna mshikaji degree anapiga full time na anakula 150000.
 
Kweli we ni sekondari tu,
Eti nna div 1
Nataka lak 2
Mchangamfu

Jifunze kuweka tangazo lako vizuri acha kujiproud kiivo...utaishia kuziskia izo laki 2....
 
yaani watu humu kwa kujifanya wao ndio wanajua sana basi tu, sasa mlitaka aseme elfu hamsini? Asitaje division na wala wasifu wowote?
 
freddie boy
dogo dogo sisi ni kaka zako tumekutangulia usiwe na hasira chariii!punguza hasira njoo upya tena tuko tayari kukusaidia sisi kama kaka zako sawa mdogo wangu
 
Last edited by a moderator:
freddie boy
Kuna mwajiri anaweza kuchukua mropokaji wa maneno ovyo?, dogo jitahidi kupuuzia vitu na usiwe unapaniki ovyo,, kwenye ajira hatukupimi kwa uwezo wako wa darasani bali hata namna unavyoongea na watu
 
Last edited by a moderator:
Oya dogo tupo bongo sio America hii au ulaya ambapo ungepata kazi za kubeba maboksi kwa kipato hicho
 
Acha uongo Hawa hawako timely we need current job listing sio hiyo link waongo Sana
 
Duh...unachagua mda wa kufanya kazi... unachagua mshahara .. duh ...ngoj wenye degree zao waje..
 
msaada gani sasa mnatoa kwa,kunikatisha tamaa badala ya kunishaur vizur mna criticize as if nimekosea sana
 
Back
Top Bottom