JfBro
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 587
- 163
Habari members....
Natafuta kazi yeyote ya short time niwe nafanya kuanzia asubuhi mpaka saa 8 mchana. Eneo liwe Dsm.
Nina elimu ya form six, division one. Fluent in English and Swahili languages na mchangamfu. Hard working and creative. Kazi zote ninaweza kufanya nina kichwa chepesi cha kuelewa mambo nikielekezwa.
Kima cha chini mshahara iwe 200,000, kima cha juu utajua wewe muajiri mwenyewe kulingana na mchango wangu kwako.
Asanteni.
Muajiri au mwenye nafasi hiyo ya kazi ani PM kwa mawasiliano.
Siwezi kuweka number zangu public its not wise.
Natafuta kazi yeyote ya short time niwe nafanya kuanzia asubuhi mpaka saa 8 mchana. Eneo liwe Dsm.
Nina elimu ya form six, division one. Fluent in English and Swahili languages na mchangamfu. Hard working and creative. Kazi zote ninaweza kufanya nina kichwa chepesi cha kuelewa mambo nikielekezwa.
Kima cha chini mshahara iwe 200,000, kima cha juu utajua wewe muajiri mwenyewe kulingana na mchango wangu kwako.
Asanteni.
Muajiri au mwenye nafasi hiyo ya kazi ani PM kwa mawasiliano.
Siwezi kuweka number zangu public its not wise.