Tembo wanne watinga Chuo Kikuu Dodoma

Wametokea hifadhi gani?
dodoma ni njia ambapo tembo huwa wanakatisha sana. mimi binafsi nimeshakutana nao mara nyingi tu, pembeni kidogo ya mji wa dodoma. tena kwa makundi makubwa tu. hutokea mashariki maeneo ya kilosa morogoro, wanakatisha dom na kuelekea kwenye maeneo ya singida
 
Wangempitia na yule faru nanihii waambatane nae
 
Siku ya Leo katika Chuo kikuu cha udom imetokea taharuki baada ya tembo wanne kuonekana chuoni hapo.

Jambo hili limesababisha akari wa wanyapori kufika chuoni hapo lakini pia walitoa maelezo ya chanzo cha wapi TEMBO HAO WALIPOTOKEA.

SOURCE: ITV TAARIFA YA HABARI
 
Huenda wanamtafuta kinana awatibu meno
 



Nimeattach picha zilizopigwa eneo la tukio!!
 
Karibu kila mwanafunzi wa chuo anatumia smartphone,
chakushangaza eti kumekosekana picha walau picha ya alama ya unyayo wa tembo...!!!
Ngumu kumeza hii
 
Msongamano wa Dar hawauwezi tena ila na Dom utaanza kuwepo tu
 


Wakifika tuambieni nasi tujue mbinu waliyotumia kuwaondoa, ili siku nyingine tukiwaona tusipate shida kusubiri
 
Tembo wanne wameonekana maeneo ya Nghonghona karibu na chuo kikuu cha UDOM.
Wanafunzi wasusia kuingia madarasani wakiwaogopa tembo hao.

TANAPA wasema hiyo eneo la UDOM ilikua njia ya zamani ya kupitisha wanyama hao na inasemekana Tembo hao wametoka hifadhi za jirani za Mikumi au Ruaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…