Tembo wanne wamekutwa ndani ya eneo la Chuo Kikuu cha Dodoma na kuvutia umati mkubwa wa watu.
TANAPA yasema jitihada zinafanyika kuwarudisha hifadhini.
My take: Naona Tembo nao wameanza safari ya kuhamia Dodoma, mpaka 2020 tutarajie wanyama wengi kutoka jamii mbalimbali nao watatinga mji huu mkuu (joke).