Hii taarifa ni ya kweli..
and I hate politics inapoingilia operesheni za kijeshi... Huwezi
kuwakamata majangiri kwa kuwapigia magoti na kuwaomba msamaha eti
umekuja kuwamata.... Ningefurahi kuona baada ya kumaliza kuwashughulikia
majangiri operesheni ingehamia mijini na kuwaadhibu wafujaji na wezi wa
pesa za raia wanaopigika..
Nani anajua jinsi Sokoine alivyowashughulikia wahujumu uchumi...kama
uhuru wa kisiasa wa leo ungekuwepo enzi yake na haki za kibinadamu
tunazoongelea leo....basi Sokoine asingeiweza ile kazi ya
kuwashughulikia wahujumu uchumi..