Mo Dewji anatarajia kununua gari mpya aina ya Telsa model 3, ambalo linasifika kuwa ni la kiusalama zaidi kuliko mengine yote duniani, linauzwa dola 46,000 (TAS 106,000 Milioni ) Inatumia gesi na umeme tu. Sifa kubwa ya gari hii ni halina muungurumo linatembea kimya kimya, lina camera za dashboard zina uwezo wa kuchukua matukio yote mbele nyuma na pembeni kuzunguka gari na huchukua video zenye ubora wa hali ya juu, yaani HD.
-Halina injini ni full umeme tu.
-Halitumii ufunguo.
-Haliwezi kuibiwa.
-Haliwezi kugonga.
-Lina automatic brake.
-Linaweza kujiendesha(auto pilot).
Unaweza kuliendesha kwa simu.
-Unaweza kulituma au kuliita kutoka sehemu ya mbali kwa kutumia simu au ipad(kama umecheki movie ya KINGSMEN utakuwa unaelewa).
-Gharama za jumla za kulinunua na kujenga mitambo ya kuchaji ni wastani wa Tsh milioni 250.