Ikitokea Kituo hicho kikavamiwa pengine na kutokea uhalifu mwanzishaji wa uzi huu na Mwananchi Said Yusuph watarahisisha kusaidia vyombo vya dola kuwakamata wahalifu ili sheria ichukue mkondo wake
Kwa hiyo kituo binafsi ni halali kuhubiri chuki dhidi ya mtu mwenye wafuasi wa kindi flani?
ICC kupo empty hamna kesi kule msimu huu! kuna raia watakuja kuzombwa na ma scania huku kupelekwa kule wakanyee debe!
Mimi nilisha acha kuangalia Star Tv
Dialo atambue kuna maisha baada ya siasa na tv yake iko kibiashara na watu anaowategemea kupeleka matangazo kwake ni watu wa itikadikadi tofauti asije lia na kusaga meno hapo baadae,yeye akubali tu kutumika kama big G.
Molemo tutawaambia ndugu, jamaa na marafiki zetu wasusie hiyo televisheni kwasababu ipo kwaajili ya kuturudisha utumwani, tutaondoa na matangazo yetu mikataba ikiisha.. hawawezi kuzuia mabadiliko kwa kudanganya watu
Hata mimi sasa nitaanza kuhamasisha watu waanze kukipuuza kituo hiki kama ilivyofanyika kwa TBC
Ushamba umewajaa, hakifai!
Nimeota, kutokana na haya Star TV wanayoyafanya wanakiweka mahali pagumu sana kituo hiki na yaweza tokea kwakituo kitachomwa moto
wanawapa wakati mgumu sana waandishi wao kipindi hiki cha kampeni,natabiri tu kwamba muda so mrefu uongozi utasitisha matangazo ya moja kwa moja kwa kuhofia usalama wa wanahabari wake....tumeona Jana mitandai imeripoti mmoja kachezea kichapo had I meno kutoka na vifaa kuharibiwa....sijui kama uongozi wanafanya analysis ya chuki inayo-build-up
nashangaa mkutano wa edo jana dodoma star tv walimulika jukwaa kuu na kutoonesha kabisa umati uliojitokeza
Tatizo kubwa wanafanya upotoshaji mkubwa ambao hauwezi kuvumiliwa.Wamekuwa wakitoa matangazo ya moja kwa moja kwenye mikutano ya Magufuli ambayo wanatumia watu kama kina Mwigulu Nchemba na Yusuph Makamba kutukana tena kwa matusi mgombea wa UKAWA Edward Lowassa.
Wamekuwa pia wakifanya vipindi kadhaa vya mahojiano vya upande mmoja vyenye lengo la kumtukana na kumkashifu Edward Lowassa kinyume kabisa na maelekezo ya TCRA
Wameona haitoshi sasa wanaandaa kabisa na matangazo ya kuchochea udini ili Edward Lowassa asichaguliwe.
Tunachoshangaa TCRA mamlaka ya utangazaji imekaa kimya kabisa ina maana wanaunga mkono upuuzi huu.Pia Tume ya Taifa ya uchaguzi imekaa kimya kabisa kuonyesha pia wanaunga mkono ushenzi huu.
Hili halikubaliki asilani.
nashangaa mkutano wa edo jana dodoma star tv walimulika jukwaa kuu na kutoonesha kabisa umati uliojitokeza