shiumiti JF-Expert Member Jun 4, 2009 435 19 Jun 6, 2011 #1 Teknolojia inapoingia kijijin kwa mara ya kwanza...mjumbe/balozi wa nyumba kumi ndiye wa kwanza kutumia...... KAZI KWELI KWELI
Teknolojia inapoingia kijijin kwa mara ya kwanza...mjumbe/balozi wa nyumba kumi ndiye wa kwanza kutumia...... KAZI KWELI KWELI
Beso JF-Expert Member May 6, 2011 216 59 Jun 6, 2011 #2 Ebanaee!!dog nae kajumuika kujirusha na facebook!
FaizaFoxy Platinum Member Apr 13, 2011 92,907 109,250 Jun 6, 2011 #3 Siku ingine basi muitumie vizuri hii teknolojia, bandikeni picha na si kutuwekea thumbnail, namna hii:
Siku ingine basi muitumie vizuri hii teknolojia, bandikeni picha na si kutuwekea thumbnail, namna hii:
B bia JF-Expert Member Feb 9, 2011 257 29 Jun 6, 2011 #4 duh!hayo manyonyo ya bibi yako inaelekea babu hana mchezo,mana kayamaliza yamebaki mamikamba 2
Sikonge JF-Expert Member Jan 19, 2008 11,550 6,063 Jun 7, 2011 #7 Nimeupenda mtindi wa huyo Bibi kulia, teteteteeeeee.......
Fayoo Member Dec 21, 2010 16 2 Jun 9, 2011 #8 Eti huyo ni Mangi sina, kama alivyochukuliwa picha na malaika akiwa peponi
Rungu JF-Expert Member Feb 23, 2007 3,932 1,726 Jun 9, 2011 #9 Ao jamaa wanavyoishobokea hiyo skrini wanaonekana lazma walikuwa wanaangalia jukwaa la picha (yaani Jamii Photos) alafu wakajishtukia picha yao iko huko. Kudaadadeki!
Ao jamaa wanavyoishobokea hiyo skrini wanaonekana lazma walikuwa wanaangalia jukwaa la picha (yaani Jamii Photos) alafu wakajishtukia picha yao iko huko. Kudaadadeki!