Teknolojia inapoingia kijijini

shiumiti

JF-Expert Member
Jun 4, 2009
435
19
Teknolojia inapoingia kijijin kwa mara ya kwanza...mjumbe/balozi wa nyumba kumi ndiye wa kwanza kutumia...... KAZI KWELI KWELI
 
Ebanaee!!dog nae kajumuika kujirusha na facebook!
 
Siku ingine basi muitumie vizuri hii teknolojia, bandikeni picha na si kutuwekea thumbnail, namna hii:


 
duh!hayo manyonyo ya bibi yako inaelekea babu hana mchezo,mana kayamaliza yamebaki mamikamba 2
 
Nimeupenda mtindi wa huyo Bibi kulia, teteteteeeeee.......
 
Eti huyo ni Mangi sina, kama alivyochukuliwa picha na malaika akiwa peponi
 
Ao jamaa wanavyoishobokea hiyo skrini wanaonekana lazma walikuwa wanaangalia jukwaa la picha (yaani Jamii Photos) alafu wakajishtukia picha yao iko huko. Kudaadadeki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…