tejaaaaa!!...

kapujege

Member
Joined
Aug 4, 2012
Posts
34
Reaction score
6
teja aligombana na babaake.akatoka nje akiwa amekasirika akaenda moja kwa moja hadi kwenye geti la makaburi afu akabandika picha ya babaake chini ya picha akaandika "COMING SOON"
 
atakuwa mfuasi wa uamsho huyo tejaa
 
teja aligombana na babaake.akatoka nje akiwa amekasirika akaenda moja kwa moja hadi kwenye geti la makaburi afu akabandika picha ya babaake chini ya picha akaandika "COMING SOON"

huyo ni mzee wa mbagala a.k.a mpinga sensa, a.k.a mpiga mwinyi kofi, a.k.a mchoma naniliu kule zanzibar, mbagala, mdaula, kigoma, mto wa mbu n.k
 
teja aligombana na babaake.akatoka nje akiwa amekasirika akaenda moja kwa moja hadi kwenye geti la makaburi afu akabandika picha ya babaake chini ya picha akaandika "COMING SOON"
Hallow kwanini sasa umenipotezea hasira zangu ?!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…