Dingi yetu uliye majuu jina lako lipewe maflagi ya kufa mtu ufalme wako utuibukie kiaina unachotaka ​kifanyike duniani kama maskani kwako utulete leo mapiza mbaga na mazaga zaga tuchuku tukichemka kama tunavyo wachunia masela wa kitaa usitutie moton bali utuokoe kwa maji kwa sababu wewe ni kila kitu ameen