Teja kaingizwa msikitini

Shiwawa

Member
Nov 30, 2011
30
10
Dingi yetu uliye majuu jina lako lipewe maflagi ya kufa mtu ufalme wako utuibukie kiaina unachotaka ​kifanyike duniani kama maskani kwako utulete leo mapiza mbaga na mazaga zaga tuchuku tukichemka kama tunavyo wachunia masela wa kitaa usitutie moton bali utuokoe kwa maji kwa sababu wewe ni kila kitu ameen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom