Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,192
- 46,240
Hawa Tecno Asia wamekamata nchi gani na gani?..Tecno bado bado, shida siyo kuwa mchina shida ni ubora. Hata Huawei ni mchina lakini simu za Huawei zilikuwa top notch. Xiomi mchina lakini flagship zake ni top notch.
Sasa tecno sasa...
Ila taratibu baada ya kukamata soko Africa na baadhi ya nchi za Asia, nadhani sasa watabadilika kukamata soko la western.