Kwa kifupi, Africa hakuna kitu kinaitwa Surplus labda Kwa wazungu. Kwasababu tunazalisha kwaajili ya kula tu na bado haitoshi tunachozalisha.
Nakushauri uwaulize TECNO wameyatoa wapi hayo maneno kwa hapa Tanzania. Lasivyo simu yako italipuka muda wowote.