China wanatengeneza vitu kulingana na need ya mteja,hivi vitu fake ni sisi wenyewe tunavitaka.Tecno ni kama wewe tu ukiwa na mkwanja unaenda China wanakutengezea Simu zinaitwa Chabo unakuwa unatoa matoleo tofauti tu.Kulinganisha Samsung na Tecno ni kuwakosea heshima Samsung.For sure Tecno simu zao ni ghali kuliko hata samsung kwa kuangalia quality ya material ya hardware.
kununua simu 1.6M wakati laptop high quality hp unanunua kwa 1.3M huo ndio ujinga wa kununua jina na sio bidhaa. hadi sasa simu ghali.kabisa ya tecno bado haifiki hata nusu ya simu ghali ya samsung.
even tecno hio ya bei ghali still inapitwa na laptop ya bei sawa na hio tecno. mfano tecno ya 400,000 na laptop ya 350,000 still laptop itakuwa na nguvu.
na hio laptop ya 350,000 inapitwa mbali sana na desktop la laki 2.
na nakubaliana na wewe kuwa kumiliki simu ya bei ghali wakati huna laptop nzuri haimake sense
mkuu ni desktop ya aina gani na ina specs zipi inayouzwa laki 2? ni mpya au used naomba unijibu tafadhari nataka nikanunue
mkuu ni desktop ya aina gani na ina specs zipi inayouzwa laki 2? ni mpya au used naomba unijibu tafadhari nataka nikanunue
Jaman mm natumia tecno H6 tatizo picha ukitumiwa au ukipiga zinakuwa km zinajifuta nimeuliza wanasema eti virus sijui nifanyeje wakuu naomba msaada, Hata km ina virus nifanyeje kuwadhibiti hao virus asante
Ni ujinga kwa kadili yako sio kwa kadili ya wenye kipatokununua simu 1.6M wakati laptop high quality hp unanunua kwa 1.3M huo ndio ujinga wa kununua jina na sio bidhaa. hadi sasa simu ghali.kabisa ya tecno bado haifiki hata nusu ya simu ghali ya samsung.
Ni ujinga kwa kadili yako sio kwa kadili ya wenye kipato
Tatizo lako unataka matumizi yangu mimi kapuku yalingane na matumizi ya Mengi.Mie nitaona Simu ya 1.6M ni anasa but kwa Mengi ni normal thing,na sio ulimbukeni.they dont know what they are doing ... simply wanakwenda na fashion.. wewe unawezakuwa mmoja wapo.....
Hizo ni special kwa India tu.Tecno I series zishaingia Tz??