Ndugu wana Jf.Naomba ushauri kuhusiana na hii cm kama ni nzuri na inauwezo nzuri katika huu ulimwengu wa smartphone.Mm nipo katika cm mbadala kabla kibano cha mwezi wa sita.Kwa anayeitumia au kuijua hii cm Naomba ukweli juu ya uwezo na utendaji wake wa kazi.
Ndugu wana Jf.Naomba ushauri kuhusiana na hii cm kama ni nzuri na inauwezo nzuri katika huu ulimwengu wa smartphone.Mm nipo katika cm mbadala kabla kibano cha mwezi wa sita.Kwa anayeitumia au kuijua hii cm Naomba ukweli juu ya uwezo na utendaji wake wa kazi.
Ndugu wana Jf.Naomba ushauri kuhusiana na hii cm kama ni nzuri na inauwezo nzuri katika huu ulimwengu wa smartphone.Mm nipo katika cm mbadala kabla kibano cha mwezi wa sita.Kwa anayeitumia au kuijua hii cm Naomba ukweli juu ya uwezo na utendaji wake wa kazi.
Ndugu wana Jf.Naomba ushauri kuhusiana na hii cm kama ni nzuri na inauwezo nzuri katika huu ulimwengu wa smartphone.Mm nipo katika cm mbadala kabla kibano cha mwezi wa sita.Kwa anayeitumia au kuijua hii cm Naomba ukweli juu ya uwezo na utendaji wake wa kazi.
Tecno bwana. Japo wachina tunawakarbisha daaah ila kuna mda bna inabdi bule tuite blue wanakera sanaa. Hzi simu zao zinakera sana. Japo yana maumbo makubwa
Mie natumia l8 plus, kuna version mbili l8 na hiyo plus iko vizuri sana hasa hasa battery utaifurahia sana, nilikuwa natumia Samsung Galaxy battery ikawa inasumbua sana ila kwa hii l8plus nimeridhika sana
Ndugu wana Jf.Naomba ushauri kuhusiana na hii cm kama ni nzuri na inauwezo nzuri katika huu ulimwengu wa smartphone.Mm nipo katika cm mbadala kabla kibano cha mwezi wa sita.Kwa anayeitumia au kuijua hii cm Naomba ukweli juu ya uwezo na utendaji wake wa kazi.