Zikwe
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 239
- 131
habari za mda huu wakuu
Nina rafiki yang ana Tecno m3 imestuck on logo....akiwasha inaishia kwenye logo ya tecno tuu na haitaki kuendelea yan kuwaka na kuwa tayari kwa ajili ya matumizi na nmejaribu kufactory hard reset karibia mara 10 lakin hamna mafanikio yoyote
msaada wenu tafadhari wnye kulijua hili tatizo au ameshawahi kukutna nalo
cc chief mkwawa
Nina rafiki yang ana Tecno m3 imestuck on logo....akiwasha inaishia kwenye logo ya tecno tuu na haitaki kuendelea yan kuwaka na kuwa tayari kwa ajili ya matumizi na nmejaribu kufactory hard reset karibia mara 10 lakin hamna mafanikio yoyote
msaada wenu tafadhari wnye kulijua hili tatizo au ameshawahi kukutna nalo
cc chief mkwawa