Tecno H6 inaninyima usingizi

Tecno H6 inaninyima usingizi

wandugu nimenuua tecno H6 wiki mbili zimepita sasa tangu jana audio imekufa na sijui chanzo wala solution/ ufumbuzi, mwenye uewelewa na hili tatizo.

Mnaambiwa kila siku kuhusu tecno ila hamskii...
thread kubao humu ni za tecno..
tafteni brand zenye technical support kubwa..
 
Kuliko kuangaika na hizo tecno si bora mnunue tu brand ingine?? Hata huawei mbna zimekaa poa tu hazina matatizo ya ajabu ajabu
 
Carl care wahuni tu hawana lolote,mi nlinunua Tecno H6 kama miez miwili,wakanambia ina waranty mwaka,hata wiki haijaisha button ya kuzimia na kuwashia ikachomoka.Nikawapelekea wakanambia eti simu bado mpya hawana spea so hawana cha kunisaidia!!Labda nenda tu kajaribu.Ila nlikoma,hzi simu kweli zina specs nzuri lakini nadhan wanatumia material cheap ambayo sio imara.

Kwani hili unalijua leo mkuuu aaaahahahaha ...

Mi nilijua UNAJUA kumbe mpaka unanunua Bado UNADHANI wametumia cheap material
 
Back
Top Bottom