tumlack
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 675
- 49
wandugu nimenuua tecno H6 wiki mbili zimepita sasa tangu jana audio imekufa na sijui chanzo wala solution/ ufumbuzi, mwenye uewelewa na hili tatizo.
Mnaambiwa kila siku kuhusu tecno ila hamskii...
thread kubao humu ni za tecno..
tafteni brand zenye technical support kubwa..