mandevuclassic
Member
- Nov 23, 2013
- 82
- 121
Mtu ambaye anajua Tecno wanabadilisha Tecno cx kwa c11 + shilingi ngapi..?
Duuuh Tecno wajinga kweli niwape cm na 400000..????400,000
Cx na 260000Mtu ambaye anajua Tecno wanabadilisha Tecno cx kwa c11 + shilingi ngapi..?
ndiyo malalamiko ya wengi kwenye page yao insta wanavyodai hivyoDuuuh Tecno wajinga kweli niwape cm na 400000..????
Ni kweli mkuu,Jamaa ni Wa ajabu kweli nmeona kwenye page watu wanavyolalamika wengi walioenda wameambiwa watoe kati ya laki350-laki4.....wakati hiyo Simu c11 inauzwa laki3 na 90 hadi laki4ndiyo malalamiko ya wengi kwenye page yao insta wanavyodai hivyo
ndo hapo sasaNi kweli mkuu,Jamaa ni Wa ajabu kweli nmeona kwenye page watu wanavyolalamika wengi walioenda wameambiwa watoe kati ya laki350-laki4.....wakati hiyo Simu c11 inauzwa laki3 na 90 hadi laki4
Tecno mtaisoma namba karibuni oppo ulimwengu safi![]()
Huku kwenye hayo matecno sio hadhi yetuXiaomi tunacomment wapi mkuu
Hahah wenye Tecno zao wanatamba hapa na kupeana hints jinsi ya kubadilisha Tecno kwa Tecno,yaani utoe malaria ukabidhiwe kipindupindu.Xiaomi tunacomment wapi mkuu
Mkuu leta 350 nkup camon11 used 1wekMtu ambaye anajua Tecno wanabadilisha Tecno cx kwa c11 + shilingi ngapi..?
Nenda mwanza lumumba street zimefikaMkuu em nipe ABC za hii simu pamoja na bei zake kama hutojali, na wapi hapa Bongo zinauzwa!
Hahah wenye Tecno zao wanatamba hapa na kupeana hints jinsi ya kubadilisha Tecno kwa Tecno,yaani utoe malaria ukabidhiwe kipindupindu.
Tecno users wanachekesha sana aisee.








