Tecno boom j7 inazima na kuwaka

Tecno boom j7 inazima na kuwaka

Kabelwa

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
678
Reaction score
196
Wadau ninasimu tecno boom j7 unapoiwasha baada ya dk3 inajizima na kujiwasha tena na nimejaribu kuifanyia head reset lakini tatizo liko palepale tatizo ni nini! Wadau.
 
Tatizo ni ubora hafifu, achana nayo kanunue simu inayoeleweka
 
Wadau ninasimu tecno boom j7 unapoiwasha baada ya dk3 inajizima na kujiwasha tena na nimejaribu kuifanyia head reset lakini tatizo liko palepale tatizo ni nini! Wadau.

Ingekuwa ni simu nyingine ningeona maajabu sana.

Ila kwa tecno ni halali kabisa kufanya hivyo wala usishangae ni haki yake ya kimsingi kabisa.

Pole sana.
 
Wadau ninasimu tecno boom j7 unapoiwasha baada ya dk3 inajizima na kujiwasha tena na nimejaribu kuifanyia head reset lakini tatizo liko palepale tatizo ni nini! Wadau.
Flash kwa sp flash tool mkuu
 
Itakuwa umeinstall apk ya disco light
 
Wadau ninasimu tecno boom j7 unapoiwasha baada ya dk3 inajizima na kujiwasha tena na nimejaribu kuifanyia head reset lakini tatizo liko palepale tatizo ni nini! Wadau.
Nend Kaiformati
kwenye pc itakua sawa
 
Ingekuwa ni simu nyingine ningeona maajabu sana.

Ila kwa tecno ni halali kabisa kufanya hivyo wala usishangae ni haki yake ya kimsingi kabisa.

Pole sana.
mkuu mbavu zangu
 
mkuu mbavu zangu

Mkuu, kwa hilo suala kwa tecno ni haki yake ya kimsingi kabisa coz nilishakutana nayo hiyo mambo.

Ingekuwa simu kama Samsung ningeona ni maajabu kwa kweli ila kwa tecno na baadhi ya huawei au Itel ni kawaida kabisa kuona unfortunately com.android.process has stopped ni haki kufanya hivyo mkuu.
 
Back
Top Bottom