Technology ya Google inaharibu elimu yetu

Technology ya Google inaharibu elimu yetu

Reedrichards

Member
Joined
Aug 21, 2014
Posts
6
Reaction score
0
Enzi za wazee wetu hapakua na search engines wazee wetu walijifunza kutumia akili zao kutunza kumbukumbu.

Kwa kizazi chetu cha kisasa computer na simu zinajua vitu vingi kuliko sisi, ubaya ni kwamba hata namba muhimu tumezitunza ndani ya simu, namba ya kadi ya benki, namba mita ya umeme, kumbukumbu muhimu.

Hapo hamna shida sana. Tatizo linakuja pale ambapo wanafunzi wa elimu ya juu wanapotumia simu za kisasa kujibu mitihani, simu android zimekua zikitumika sana ma vyuoni kuliko hata chabo za kuandika, unakuta mtu ana google point zote in 10 minutes anamaliza mtihani, anapata A hata B lakini kichwani hamna kitu.

Kwa mtindo huu vyeti havita aminiwa tena na ubora wa mwanafunzi utakuwa wa kubahatisha.

Tuacheni.
 
Napata shida kumwelewa mtoa mada.
Nadhani hii makitu ni ya kusadikika tu hapa.
 
sidhan kuna chuo kinacholuhusu kuingia na cm kwenye chumba cha mtiani, cjui iyo mada yako kama inaendana na ukwel
 
Kuna kitu kinaitwa 'Book Exam'. Hii inamaanisha kwamba unaruhusiwa kuingia na vitabu vyako ili kupata rejea. Hata hivyo mitihani hiyo si rahisi sana kufaulu kwa vile majibu ya maswali ya mtihani hayategemei data zilizokuwa kwenye vitabu, bali ni kwa jinsi gani unaelewa data zile na kuzitumia katika hali halisi.
 
mm ndiyo ckuelewi kabisa mada yako inahusu nini. naungana na wenzangu kuwa hakuna chuo kinachoruhu mtu kuingia na sim.
 
Enzi za wazee wetu hapakua na search engines wazee wetu walijifunza kutumia akili zao kutunza kumbukumbu.

Kwa kizazi chetu cha kisasa computer na simu zinajua vitu vingi kuliko sisi, ubaya ni kwamba hata namba muhimu tumezitunza ndani ya simu, namba ya kadi ya benki, namba mita ya umeme, kumbukumbu muhimu.

Hapo hamna shida sana. Tatizo linakuja pale ambapo wanafunzi wa elimu ya juu wanapotumia simu za kisasa kujibu mitihani, simu android zimekua zikitumika sana ma vyuoni kuliko hata chabo za kuandika, unakuta mtu ana google point zote in 10 minutes anamaliza mtihani, anapata A hata B lakini kichwani hamna kitu.

Kwa mtindo huu vyeti havita aminiwa tena na ubora wa mwanafunzi utakuwa wa kubahatisha.

Tuacheni.

Bila Google Ungeijulia Wapi JAMIIFORUMS?
 
Mtoa mada unasoma chekechea gani inayoruhusu kuingia na simu katika chumba cha mtihani?
 
From my experience, although I do not understand the finer details of neuroplastisity (although I am sure my understanding in the subject would deepen if I took the time to look into it on the Internet), the Internet has, without a doubt, deepened and broadened humans understanding in many areas.
 
Kuna kitu kinaitwa 'Book Exam'. Hii inamaanisha kwamba unaruhusiwa kuingia na vitabu vyako ili kupata rejea. Hata hivyo mitihani hiyo si rahisi sana kufaulu kwa vile majibu ya maswali ya mtihani hayategemei data zilizokuwa kwenye vitabu, bali ni kwa jinsi gani unaelewa data zile na kuzitumia katika hali halisi.

Open book exam
 
Kwa wale deeper reders google imewasaidia ila lazy chaps wamefanywa vilema wa akili na google. Wazungu wamekuwa navyo muda mrefu but wana ustaarabu wa kutumia search engines. Binafsi zimenisaidia sana katika kazi na shuleni miaka hiyo. Kama ulisoma nje references zote unapewa za mtandao na ukipewa kazi unatumia hiyo mitandao ila ipi ambayo ni maalum and not junks. Ipo ambayo ni acredited kama vile google scholar, slideshare etc ziko ki academic with acredited articles and journals.
 
Mwenzetu umesoma chuo gani hicho mnacho ingia na simu kwenye vumba vya mtihani! Au umesoma Online!
 
Enzi za wazee wetu hapakua na search engines wazee wetu walijifunza kutumia akili zao kutunza kumbukumbu.

Kwa kizazi chetu cha kisasa computer na simu zinajua vitu vingi kuliko sisi, ubaya ni kwamba hata namba muhimu tumezitunza ndani ya simu, namba ya kadi ya benki, namba mita ya umeme, kumbukumbu muhimu.

Hapo hamna shida sana. Tatizo linakuja pale ambapo wanafunzi wa elimu ya juu wanapotumia simu za kisasa kujibu mitihani, simu android zimekua zikitumika sana ma vyuoni kuliko hata chabo za kuandika, unakuta mtu ana google point zote in 10 minutes anamaliza mtihani, anapata A hata B lakini kichwani hamna kitu.

Kwa mtindo huu vyeti havita aminiwa tena na ubora wa mwanafunzi utakuwa wa kubahatisha.

Tuacheni.

Lakini hata zamani hizo hakukuwa na magari watu walitembea Dar - Arusha kwa miguu je tuendelee hivyo? Haya mawazo ndio yanafanya tunabaki nyuma kila kitu kwa kisingizio cha wazee walifanya hivi au vile.
 
sidhan kuna chuo kinacholuhusu kuingia na cm kwenye chumba cha mtiani, cjui iyo mada yako kama inaendana na ukwel

hata chabo haziruhusiwi chumba cha mitihani na watu wanajiandika, wanaandika kwenye rula, kwenye viti, swala hapa lipo mbali na uhalali, lina husiana zaidi na 'kujilipua' do or die..wataalam wa mig wanaelewa hili sana.
 
Enzi za wazee wetu hapakua na search engines wazee wetu walijifunza kutumia akili zao kutunza kumbukumbu.

Kwa kizazi chetu cha kisasa computer na simu zinajua vitu vingi kuliko sisi, ubaya ni kwamba hata namba muhimu tumezitunza ndani ya simu, namba ya kadi ya benki, namba mita ya umeme, kumbukumbu muhimu.

Hapo hamna shida sana. Tatizo linakuja pale ambapo wanafunzi wa elimu ya juu wanapotumia simu za kisasa kujibu mitihani, simu android zimekua zikitumika sana ma vyuoni kuliko hata chabo za kuandika, unakuta mtu ana google point zote in 10 minutes anamaliza mtihani, anapata A hata B lakini kichwani hamna kitu.

Kwa mtindo huu vyeti havita aminiwa tena na ubora wa mwanafunzi utakuwa wa kubahatisha.

Tuacheni.

Kama ndio zinaharibu akili wewe umesoma ili ukaajiliwe kukata ticketi kwenye mabasi au uweze gundua vitu kama vya google? na ni lini elimu yetu ni bora hadi iharibiwe? au umemaanisha kitu kingine...!

Kama Elimu yetu imeweza kutoa mchango wowote kwa Maisha ya Binadamu tafadhari naomba nifahamishe zaidi itakuwa unataka kuleta machafuko nchini Google hatuiachi ng'o...

Kama unaona elimu ni ghali basi jaribu... Ujinga..
 
Siku hizi wanaruhusu kuingia (kutumia) na simu kwenye vyumba vya mitihani???
 
Kuna kitu kinaitwa 'Book Exam'. Hii inamaanisha kwamba unaruhusiwa kuingia na vitabu vyako ili kupata rejea. Hata hivyo mitihani hiyo si rahisi sana kufaulu kwa vile majibu ya maswali ya mtihani hayategemei data zilizokuwa kwenye vitabu, bali ni kwa jinsi gani unaelewa data zile na kuzitumia katika hali halisi.

open book exam ,yaah naikumbuka hiyo ila simu ni marufuku kwenye mtihani.
 
Back
Top Bottom