Technology base enterprises, where are they?

Mr.genius

JF-Expert Member
Feb 20, 2012
1,369
1,169
Habari zenu wakuu, mambo vp? Mishe zinasonga? I know entrepreneurs are always busy people naamini harakati znaendelea za kulisongesha gurudumu la maendeleo binafsi na maendeleo binafsi yalete matokeo chanya kwenye nchi yetu, sasa nina mada kidogo hapa juu ya aina za biashara tunazo concetrate nazo kipindi hiki, kwa kuangalia discussion kubwa za jukwaa letu pendwa la ma business na ma biashara unaweza kuelewa tu watanzania tunawaza nini na tunafanya nini katika sekta ya biashara na ujasiriamali. Kuptia jukwaa letu pendwa nmegundua watanzania bado tuko slow sana kwenye biashara za teknolojia, biashara zenye base ya mambo ya technology nasema hivi sababu hakuna asiejua sasa hivi tunaishi katika ulimwengu wa kidijitali, wengine wanaita forth industrial revolution ambapo technology sector ndo ina run dunia. Pamoja na hayo nikiangaliaga conversation zetu humu ndani sioni business content discussion katika kiwango unaweza sema angalau hata.
Katika karne hii ya kidijitali bado tunang'ang'ana na hizi mi naziita traditional business, mada zetu utaskia "nataka kufungua genge msaada wapi pa kuanzia" nataka kulima matikiti, nataka kufungua duka la vitu vya nyumbani, nataka kuchukua mzigo kariakoo katika karne hii kweli?? It's ok, unaweza sema atleast nasisi tunaonekana tumo tunajishugulisha lakini swali kujishughulisha huku kunaleta tija kwa mazingira na mahitaji ya ulimwengu wa sasa?
Dunia imekua kijiji sikuizi, hivi tunaona wenzetu wanachofanya huko "duniani" lakini? Tunataka ukiingia jukwaa la biashara ukutane na conversation za biashara ya kileo, biashara za kisasa, digital base enterprises mana wakati wake ndio huu. Conversation like, nataka kufungua ecommerce site wapi napata Web developer mzuri? Nataka kufungua kampuni ya delivery services kwa kutumia drones natafuta partner, me and my team tutazindua product yetu ya robort wa kwanza kuhudumia mgahawa as the waiter wadau karibuni muone and many many other technology base firms!.
Kama tutakua slow namna hii to take advantage of the situation, wenzetu watafanya and guess what? soon or later tutakua slaves (customers) of other products and services from other countries. And Economically hii inamaanisha tunatoa pesa ndani ya nchi yetu na kuwapelekea wenzetu huko nje!
 
Tatizo lingine programmers wa kitanzania wana bei kubwa sana mko, kuna jamaa nilimuuliza anitengenezee kaprogram mfano wa uber akaniambi 50M katika kufuatilia nitapata Jamaa wa Kenya akaniambia 9M kwa hali hii watu tunaogopa hizo technology base enterprises kwa sababu ya cost kubwa ya developers

Lakini kitu kingine ni sheria za kibongo sidhani Kama ni rafiki maana hivi Vitu ni vipya kabisa
 
But mbali na gharama za ma programmers kua juu, sikuizi tunaishi katika ulimwengu wa mtandao kuna site ambazo unaweza ukapata programmer(toka popote pale duniani) ukampa tenda na akakufanyia kazi yako vizuri tu kwa ufanisi na kwa gharama nafuu. Na njia nyingine ni wewe mwenyewe kujifunza how to code. Everything is possible kwake yeye aaminie.
Tatizo lingine programmers wa kitanzania wana bei kubwa sana mko, kuna jamaa nilimuuliza anitengenezee kaprogram mfano wa uber akaniambi 50M katika kufuatilia nitapata Jamaa wa Kenya akaniambia 9M kwa hali hii watu tunaogopa hizo technology base enterprises kwa sababu ya cost kubwa ya developers

Lakini kitu kingine ni sheria za kibongo sidhani Kama ni rafiki maana hivi Vitu ni vipya kabisa
 
Nakubaliana na mtoa mada kwamba, tunatakiwa tubadilishe mitazamo na tufanye biashara tofauti. kwanza nikupongeze kwa kuwaza biashara kama uber japokuwa kwa uwelewa wangu kuprogramu application ya aina hiyo ni kazi sana, kama kuna mtanzania mwenye uwezo huo nae nampongeza, maana nikiangalia kwa haraka haraka kuna component ya mteja na server, dereva (mfanyakazi) mfano wa uber na server, kuna location. pia kwenye swala la fedha lazima kuhakikisha zinafika kwa mlengwa bila mtu mwingine(man in the middle) kuzihamisha kwenda sehemu tofauti, hii itahusisha encryption.
 
Habari zenu wakuu, mambo vp? Mishe zinasonga? I know entrepreneurs are always busy people naamini harakati znaendelea za kulisongesha gurudumu la maendeleo binafsi na maendeleo binafsi yalete matokeo chanya kwenye nchi yetu, sasa nina mada kidogo hapa juu ya aina za biashara tunazo concetrate nazo kipindi hiki, kwa kuangalia discussion kubwa za jukwaa letu pendwa la ma business na ma biashara unaweza kuelewa tu watanzania tunawaza nini na tunafanya nini katika sekta ya biashara na ujasiriamali. Kuptia jukwaa letu pendwa nmegundua watanzania bado tuko slow sana kwenye biashara za teknolojia, biashara zenye base ya mambo ya technology nasema hivi sababu hakuna asiejua sasa hivi tunaishi katika ulimwengu wa kidijitali, wengine wanaita forth industrial revolution ambapo technology sector ndo ina run dunia. Pamoja na hayo nikiangaliaga conversation zetu humu ndani sioni business content discussion katika kiwango unaweza sema angalau hata.
Katika karne hii ya kidijitali bado tunang'ang'ana na hizi mi naziita traditional business, mada zetu utaskia "nataka kufungua genge msaada wapi pa kuanzia" nataka kulima matikiti, nataka kufungua duka la vitu vya nyumbani, nataka kuchukua mzigo kariakoo katika karne hii kweli?? It's ok, unaweza sema atleast nasisi tunaonekana tumo tunajishugulisha lakini swali kujishughulisha huku kunaleta tija kwa mazingira na mahitaji ya ulimwengu wa sasa?
Dunia imekua kijiji sikuizi, hivi tunaona wenzetu wanachofanya huko "duniani" lakini? Tunataka ukiingia jukwaa la biashara ukutane na conversation za biashara ya kileo, biashara za kisasa, digital base enterprises mana wakati wake ndio huu. Conversation like, nataka kufungua ecommerce site wapi napata Web developer mzuri? Nataka kufungua kampuni ya delivery services kwa kutumia drones natafuta partner, me and my team tutazindua product yetu ya robort wa kwanza kuhudumia mgahawa as the waiter wadau karibuni muone and many many other technology base firms!.
Kama tutakua slow namna hii to take advantage of the situation, wenzetu watafanya and guess what? soon or later tutakua slaves (customers) of other products and services from other countries. And Economically hii inamaanisha tunatoa pesa ndani ya nchi yetu na kuwapelekea wenzetu huko nje!
Watu wanajadili biashara wanazofanya na wanazozimudu. Technology business mara nyingi inahitaji uwe mtu wa field hio. Kutokuwaona humu haina maana hawapo kwahio usihukumu eti Kwa kusoma JF ndio uhukumu watanzania wanafikiriaje
 
Back
Top Bottom